Friday, November 2, 2012

ALICHO SEMA PASHA KUHUSU DIAMONDI HIKI HAPA

Kutokana na skendo iliyo hit sasa hivi Bongo kutokana na msanii alieonekana kughara ghafra katika game ya muziki wa bongo flava na kutazamwa kwa macho mengi zaidi na utofauti wake, moja kati ya wasanii wakongwe katika Game na  ambae amekumbwa na mkasa huu kwa kuibiwa Beat yake pamoja na melod ya Corus yule hit maker wa NISOO (PASHA) ameweka picha hii katika ukurasa wake wa Facebook na kuandika maneno haya.....

(Mdogo wangu Diamond umekwama wapi kakazako tukusaidie@wakongwe katika game,,,,,!!!!???? 

Kazi kwako Diamond Plutnumz Baibeeeeeeee..........


No comments:

Post a Comment