Friday, September 28, 2012

KICHUPA CHAPEWA HIKI HAPA MZIGO UNAITWA BANDIA -- NI MCHIZI KUTOKA KENYA

Msanii - PEWA ABAGENGE
Song - BANDIA
Label - AUDIO KUSINI

Bandia ni neno la kiswahili likiwa na maana ya FEKI mchizi kalitumia kwa kufikisha ujumbe kwa watu bandia waliotuzunguka katika jamii kwa mfano marafiki, wachungaji na hata wanasiasa. Ebana eeh...!! Bonge la mzigo liskilizeni
HISTORIA KUHUSIANA NA MCHIZI
 
PEWA ABAGENGE
NAMES: Emmanuel Wanjala 
AGE: 22
STAGE NAME: PEWA ABAGENGE
MUSIC GENRE: NewSkool Genge
RECORDING LABEL: Audio Kusini
BASE: Nairobi

BACKGROUND INFO;

Pewa was born 22 years ago and was raised in Western Kenya at Webuye. He attended St.Mary’s Kibabii in Bungoma.

MUSIC JOURNEY;
He started rapping back then while in high school. During those days, Pewa used to remix the already established artistes songs and then perform during schools functions. After high school, he joined Audio Kusini Studios which is located at Kahawa Wendani along Thika Road. It’s under the management of Audio Kusini that Pewa has managed to release four tracks; Mwisho WA Mwezi, Kijiji Na Jiji, Nipeni Kura Zenu and recently Cheza Kinanda. He is also set to release more singles and collaborations soon.
ROLE MODELS AND INSPIRATION
Musically, I look up to artistes like Nonini, Prof. Jay and Fid Q (Tanzania) and internationally the likes of Eminem Akcent and Edwards Maya. M y music inspiration is drawn from daily happenings and trends.
DISCOGRAPHY;
1.       KIJIJI NA JIJI feat Blaq Childs
2.       NIPENI KURA ZENU
3.       HIPHOP GENGE  feat by Kaktus
4.       CHEZA KINANDA feat Erica
ASPIRATION
To become among the Africans most influential artistes.

Sikiliza wimbo huu wa CHALII MTOTO WA BIBI aliyemwimba DOGO JANJA kuwa ni DOGO MBUMBUMBU

ZITTO KABWE: 2015 SITAGOMBEA UBUNGE


Baada ya kusikia kupitia vyombo mbali mbali vya habari kuwa Mh mbunge wa Kigoma Mjini Zitto ametangaza kuwania kiti cha uraisi ifikapo mwaka 2015, Zitto ameendelea kusisitiza msimamo wake kupitia mtandao wa jamii wa Facebook
Zitto Kabwe
Narudia, mwaka 2015 sitagombea Ubunge. Nitafanya kampeni ya Urais, ama mimi kama mgombea wa chama changu CHADEMA au kama mpiga debe wa mgombea wa chama changu. Miaka 10 ya Ubunge inatosha na kwa ngazi hiyo ni vema niwaachie wengine wasukume mbele gurudumu la maendeleo ya Jimbo na mkoa wetu. Huu ndio uamuzi wangu wa mwisho na nimeshawaeleza wananchi wa Jimbo langu na mkoa wa Kigoma toka mwaka 2005