Friday, October 12, 2012

Meneja wa Diamond amtetea kwa kuonesha boxer yake kwenye Fiesta

Uongozi mpya wa Diamond uliochini ya mpiga picha maarufu nchini wa I-View Media, Raqey Mohamed umeingia kwenye mtihani wa kwanza baada ya Diamond kujikuta kwenye kitimoto kutokana na kitendo chake cha kuonesha boxer kwenye stage

CHEGE ADAIWA KUZAA NA MKE WA MTU

Baada ya skendo hiyo kuanza kutiririshwa jana, leo Mume halisi wa yule mwanamke alie daiwa kuzaa na Chege amedaiwa wamejadili na kuafikiana Chege amurudishia jamaa mahali. Baada ya hapo chege tayari ametoa shilingi laki 8 pamoja na kumrudishia pesa yake ya nauli shilingi laki 2 ambayo jamaa anadai aliitamka tu

NU VIDEO: USHER "NUMB"






NU ALBUM COVER: KEYSHIA COLE – ‘WOMAN TO WOMAN’

Baada ya Rihanna na Nick Minaj kusambaza cover mpya za Album zao sasa habari nyingine mpya ambayo tumeipata kutoka pande za state ni kwamba msanii anayejulikana kwa jina la Keyshia Cole kwa siku ya leo ametoa cover mpya ya album yake inayokwenda kwa jina la Woman To Woman.Baada ya kutoa cover hiyo mpya aliweza kufunguka na kuandika ujumbe huu kwa mashabiki wake"
“I was a lot more happy and content with my happiness through my music, so now I am channeling the pain, the frustration, being upset about being cheated on,” said Keyshia of the follow-up to 2010’s Calling All Hearts. “This album is not about me. The album is about the fans that really want to hear things that help them and give them inspiration to get over dudes that do them wrong.”

Check out the deluxe cover below.

PROFESSA JAY,LADY J DEE,DIAMOND KUWANIA TUZO ZA KISIMA MUSIC AWARDS 2012

Habari nzuri ambayo tumeipata ni kwamba siku ya jana mtu mzima Professa jay,Diamond,Lady J dee na wasanii wengine kutokea hapaa Tzee walitajwa katika kuwania tuzo za Kisima Awards mwaka huu.Baada ya kutolewa orodha hiyo ya wasanii wanaochuana katika vipengele mbalimbali vya kuwania tuzo hizo sasa bhana mtu mzima Nonini alionekana ameongoza kwa kuwa nominated mara 4 katika kuwania tuzo hizo.Na hizi ni categories ambazo Nonini mpaka sasa anaonekana kwa kuwa nominated mara 4 katika categories mbalimbali :Video of the Year (Colour Kwa Face), Hip Hop Artist of the Year (Colour Kwa Face), Urban Artist of the Year (Hahe RMX ft. Just A Band) and The Artist of the Year categories.


Hii ndio List nzima ya Nominations za Kisima Music Awards 2012:

Best Hip Hop Artist
1. Mafans – Cannibal
2. Prep – Xtatic
3. On Top – OCTOPIZZO
4. Swahili Shakespeare – Rabbit
5. Colour Kwa Face – Nonini
6. Exponential Potential – Juliani
Artist of the Year
1. CampMulla
2. Nameless
3. Daddy Owen
4. Nonini
5. Octopizzo
6. Emmy Kosgei
The winner in this category will walk away with Sh2 million (US$22K)!
Best Collabo of Year
1. Don’t Want To B Alone – Ay ft Sauti Sol
2. Make u Dance – Keko ft Madtraxx
3. Mpita Njia – Alicios ft Juliana
4. Mbona – Daddy Owen ft Denno
5. Gentleman – P Unit ft Sauti Sol
6. What You Like – Longombas ft Mr. Vegas
Best Urban Song
1. Hahe – Just a Band
2. Party Dont Stop – CampMulla
3. Welcome 2 the Disco – MuthoniDQ
4. Kusunga- Boneless
East African Recognition Award
1. TMK – Kichwa Kinauma (TZ)
2. Jackie Chandiru – Golddigger (UG)
3. Lady Jaydee ft. Mr Blue – Wangu (TZ)
4. Profesa_Jay – Kamiligado (TZ)
5. Chameleone – Valu Valu (UG)
6. Diamond – Mawazo (TZ)
7. Dynamq – Jere Jere (Southern Sudan)
Music Video of the Year
1. Nameless – Coming Home
2. Rabbit – Swahili Shakespeare
3. Juliani – Exponential Potential
4. Daddy Owen – Mbona
5. Nonini – Colour kwa face
Best Urban Song
1. Hahe – Just a Band
2. Party Dont Stop – CampMulla
3. Welcome 2 the Disco – MuthoniDQ
4. Kusunga- Boneless
Best Reggae
1. Mbona – Daddy Owen
2. Nairobi Rough – Fireson
3. Number One – Kevo Yout
4. Guarantee – Wyre
Best Benga Song
1. Sihai Malo – Judith Bwire
2. Kaana Funny – Kamande wa Kioi
3. Momo – Murimi wa Kahalf
4. Kanungo Eteko- Otieno Aloka
Best Fusion Artists
1. Chips Funga – Anto Neo-soul
2. Coming Home – Nameless
3. Saida – Dan Aceda
4. Mama Africa – Judith Bwire
5. Jahera Na – Juliet
6. Still a liar – Wahu
Best Boomba Artist
1. Shine – Amileena
2. My Reason – Habida
3. Vidonge – Size 8
4. Kitu Kimoja – Avril
5. Maswali Ya Polisi – DNA
Gospel Artist of the Year
1. Daddy Owen ft. Denno – Mbona
2. Eko Dydda – Psalms 23
3. Eunice Njeri – Natamani
4. Mastar Piece ft. DK – Kofii Yoo
5. Emmy Kosgei – Ololo
6. Willy Paul ft. Gloria Muliro – Sitolia
Best Upcoming Artiste
1. Alicios
2. Anto Neosoul
3. Camp Mulla
4. Nariki
5. Xtatic
6. Yvonne Darco



ARVs bandia zazua balaa

DIAMOND AWA NA FURAHA BAADA YA KUTAJWA KUWA KING OF BONGO FLAVA NA MTANDAO WA MSN

Siku ya jana mtandao mkubwa Duniani kwa jina la MSN uliweza kutangaza majina mawili ya wasanii wa Tanzania kama ndio bora zaidi kwa kuwapa vyeocha King na Queen of Bongo flava.Wasanii hao waliotajwa na kupewa vyeo ni mtu mzima Diamond Platinum wa wasafi na mwanadada Lady J Dee baada ya kupata taarifa hii kutoka katika mtandao mkubwa duniani unaojulikana kwa jina la MSN sasa bhana Diamond akaamua kuandika ujumbe katika site yake baada ya kutajwa katika mtandano huo
"Honestly nmejiskia furaha sana kuandikwa katika mtandao mkubwa kama huu,
juu ya kazi yangu ya muziki ninayoifanya na kupewa heshima ya kuwa King of Bongo Flava.
Hii inaonesha ni jinsi gani muziki wetu umepiga hatua na unazidi kuvuka boda" Huu ndiyo ujumbe uliyoandikwa na mtu mzima Platinum baada ya kutaja katika mtandano mkubwa Duniani unaojulikana kwa jina la MSN.

HAPPY BIRTHDAY HUGH JACKMAN

Kama wewe ni mpenzi wa movie za kutoka Hollywood pande za state basi actor huyu utakuwa unafahamu katika movie kibao jinsi anavyokuwa na ujasiri kwa mfano ile movie ya X men ilimfanya mpaka akaweza kupewa tuzo ya Best Actor mwaka 2000 katika Saturn awards.Habari ambayo tumeipata kuhusu actor huyu ni kwamba kwa siku ya leo anatimiza miaka 44 toka azaliwe 12 October 1968 tunamtakia maisha mema pamoja na kazi nzuri.

CHATANDA AMTUNISHIA MISULI LOWASSA

SIASA za makundi ndani ya CCM, zimeendelea kujidhihirisha wazi baada ya katibu wa chama hicho Mkoa wa Arusha, Mary Chatanda kukwepa kumtambulisha Waziri Mkuu wa zamani na Mjumbe wa Halmashauri Kuu (Nec) kupitia Wilaya ya Monduli, Edward Lowassa aliyekuwa meza kuu.Tukio hilo la aina yake lilitokea jana wakati Chatanda akitambulisha wageni waalikwa na viongozi wa chama na Serikali waliokuwa meza kuu katika mkutano wa uchaguzi wa nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Arusha.

Mara baada ya Msema Chochote (MC) kumpa kipaza sauti Chatanda, alianza kwa kuwatambulisha viongozi hao na kuwapa nafasi ya kusalimia, lakini ilipofika kwa Lowassa alimruka na kumkaribisha Mwenyekiti wa Mkoa aliyemaliza muda wake, Onesmo Nangole ili kumkaribisha mgeni rasmi kufungua mkutano huo.

Kutokana na hali hiyo, wajumbe wa mkutano huo, walianza kupaza sauti huku wakisisitiza ‘bado mjumbe mmoja, bado mjumbe mmoja’ ndipo Chatanda alipomtambulisha Lowassa na kumkaribisha kusalimia wajumbe.
Mara baada ya Lowassa, aliyekuwa kiti cha mbele meza kuu, kusimama ukumbi ulilipuka kwa maneno ya CCM, CCM, CCM ambapo aliwapungia mkono hadi waliponyamaza.

Hata hivyo, Lowassa licha ya kusimama hakusema chochote hadi wajumbe hao waliponyamaza ndipo na yeye akaketi.
Chatanda ambaye anatajwa kuwa katika kambi ya Waziri wa Mambo ya Nje, Benard Membe, amekuwa akilumbana mara kwa mara na wana-CCM ambao wanamuunga mkono Lowassa katika chaguzi mbalimbali.Hata hivyo, baadaye jioni Lowassa alitambulishwa na msimamizi wa uchaguzi huo, Jumanne Maghembe ambaye ni Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika.
Akizungumza wakati wa kumkaribisha Nangole, Lowassa alisema inawezekana Chatanda alipitiwa kidogo kutokana na hekaheka za chaguzi zilizopita na hasa baada ya watu aliokuwa anawataka kushindwa.
Hata hivyo, Lowassa alimpongeza katibu huyo kwa kazi nzuri alizofanya.

Lowassa amrushia dongo RC

Kwa upande mwingine, Lowassa alimrushia dongo Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo kuwa ni kijana mdogo, lakini hana shaka naye na akasema kuwa ni mchapakazi na anapaswa kusaidia kutatua matatizo mbalimbali yanayoukabili mkoa huo.
Baadaye jioni mwandishi alimfuata Chatanda na kutaka ufafanuzi kuhusiana na hali hiyo ambapo alijibu kwa mkato kuwa “Sitaki maneno” na kupanda katika gari lake na kuondoka.Hata hivyo, baadaye alimpigia simu mwandishi na kusema, “ Mpaka ifikie mwanaume anitaje, mimi ni jembe na moto ni uleule.”

Awali, katika mkutano huo wa uchaguzi wajumbe wote walimchagua Lowassa kuongoza kikao hicho hatua ambayo ilidhihirisha kuimarika kwa kambi yake mkoani hapo.
Lowassa mara baada ya kuchaguliwa kwa kura nyingi, aliwaeleza wajumbe kuwa amewasikia na hatawaangusha.
Katika uchaguzi huo, mchuano mkali ulikuwa katika nafasi ya uenyekiti, ambapo Nangole ambaye taarifa zinasema yuko kambi ya Lowassa, alikuwa anachuana na Sheikh Adam Chora na Dk Salash Toure.Katika uchaguzi huo, kulikuwa na jumla ya wajumbe 855 kati ya wajumbe 897 ambao walipaswa kushiriki.

Matokeo
Akitangaza matokeo hayo, Maghembe alisema, Ole Nangole ameibuka mshindi wa kiti cha uenyekiti baada ya kupata kura 604 na kufuatiwa na Sheikh Chora ambaye alipata kura 213. Mgombea wa mwisho ambaye ni Dk Toure aliambulia kura 15 ambapo jumla ya wapigakura walikuwa 833 na kura 3 ziliharibika.

HABARI ZENYUUUUUUUU BHANAAAAAAA!!!!!!

HEY WANANCHI Neema ya mvua sahizi imedondoka GREEN CITY MBEYA Bonge la mvua saiz lina dondoka pande izi.... Mwaka ndo unaishia hivi ukisha anza kuona bogi so kazana kujipanga saiz kama mkulima haya anza kuandaa mashamba mapema usije chelewa halaf migogoro ya mashamba ikatokea kwa sababu ya uchelewaji wa wa kuandaa sehemu yako mapema