Saturday, October 20, 2012

Breaking: Lord Eyez akamatwa kwa kuiba spea za gari la Ommy Dimpoz


Muda mfupi uliopita Ommy Dimpoz ametweet picha hiyo juu na kuandika maelezo haya:


Pia kupitia BBM Ommy ameongeza kwa kuandika:

“Kwenye dp yangu sio ajali ni wezi wa power windows wakiongozwa na msanii mwenzangu wa bongo flava Lord Eyez ndo wameiba mpaka plate number tumeshamkamta lakini.”


Exclusive: Chris Brown anaweza kutua Tanzania mwezi December


Unakumbuka tuliwahi kuandika kuwa baada ya Rick Ross kupiga show kwenye Fiesta mwaka huu kuna msanii mwingine mkubwa anaweza kuja Tanzania hivi karibuni? Well, msanii huyo anaweza kuwa ni Chris Brown…. Yesss Breezy huyu huyu ex wa mtoto Rihanna.

Issue ni kwamba mwezi December mwaka huu kampuni maarufu ya uaandaji wa show nchini Afrika Kusini pamoja na Channel O watamdondosha Chris kwenye ‘Carpe Diem Tour’ ambapo kampuni kubwa ya Tanzania inadaiwa kuweza kutumia nafasi hiyo pia kumdondosha Breezy ndani ya Dar es Salaam.

Chris atakuwa na show Johannesburg, December, 15, Durban December, 17 na Cape Town December 19 na December 20.