Sunday, December 9, 2012

BREAKING NEWS: UKWELI KUHUSU TETESI JUU YA KIFO CHA JUSTIN BIEBER HUU HAPA

2010_Death rumors: In what appears to be the first celebrity death hoax of 2010, rumors were flying out that teen sensation Justin Bieber was dead at only 15-years-old.
Rest assured however that Justin Bieber is not dead and he even confirmed it himself on his Twitter account:
"oh yeah...and it feels so good to be alive"

2012_Death rumors: Is Justin Bieber died in a car crash or not?
"Endelea" kufahamu ukweli wa tetesi za kifo cha J. Bieber...
Ukweli ni kwamba Justin Bieber amepata ajali ya gari ila hajafa, sio mara ya kwanza kwa J. Bieber kuzushiwa kifo kwani hata mwaka 2000 aliwahi zushiwa kifo katika ajali ya gari na ikasmekana Illuminati walikuwa wanataka kumuua baada ya kugundua ndiye atayekuwa mrithi wa Michael Jackson.

NI KUHUSU KIFO CHA JUSTIN BIEBER

  Wengi tulio wengi tutakua hatuna uhakika na stori zinazoendelea kusambaa kuhuiana na eti bierber kafariki dunia ila ..katika pita pita mitandaoni hatukuwezeza kuthibitisha habari hiyo japo kuna site moja ambayo iliandika yafuatayo .........

Japo taarifa hizi zilipatikana katika mitandao isiyo rasmi hivyo kutupa hofu ya uhakika kuwa ni kweli bierber kafariki kwa ajali

kiukweli hasa huu ni uvumi ambao wasaniiw engi huzushiwa kuwa wamekufa wakati sio

kweli.na hii ni mara ya pili bierber anazushiwa kufa mitandaoni