Tuesday, December 4, 2012

DIAMOND ATOA UJUMBE KWA DULLY BAADA YA KUTIMIZA MIAKA KADHAA

Msanii wa Bongo Fleva almaarufu kama Diamond Platinum,leo kupitia katika website yake aliweza kuandika ujumbe mfupi wa kumpongezi msanii Dully sykes kwa kutimiza miaka kadhaa kwa siku ya leo na ujumbe huo ni huu hapa"Kiukweli ni mtu ambae anamchango mkubwa sana katika Safari yangu ya kimuziki mpaka kufikia hapa...pengine pasingekuwa na uwepo wake huwenda nisingefika hapa nilipo ni mtu anae nisupport  na kuwa nami  Bega kwa Bega  kwa kila hatua  zangu za kimuziki,kunishauri na kuniongoza katika njia sahihi ya Tasnia hii ya Muziki wetu na Maisha kwa ujumla....Na kama ulikuwa haujui tarehe 1 ya mwezi huu wa 12 alipata mtoto mwingine wa kiume aliyezaliwa Greenwich Hospital Mjini London Uingereza na kumtunuku ama kumuita jina la Diamond yaani Diamond Sykes"Huo ndiyo ujumbe kutoka kwa Diamond baada ya Dully kufikisha miaka kadhaa leo. 

VIDEO:- DIAMOND PLATINUM"NATAKA KULEWA"




HII NDIYO VIDEO YA CHICOLO KUTOA KATIKA DARASA LA FID Q UJAMAA HIP HOP


KAMA WEWE NI SHABIKI WA DULLY SYKES INATUHUSU HII


Msanii wa Bongo Fleva almaarufu kama Dully Sykes, siku ya leo anatimiza miaka kadhaa toka azaliwe kwa hiyo kama wewe pia unazaliwa siku kama ya leo, basi utakuwa unasherekea siku yako ya kuzaliwa na msanii huyo tunawatakiwa All the best