Thursday, September 20, 2012

Nay wa Mitego azungumza na Hot Mix ya EATV


Diamond Platnumz: Nataka kutengenza ajira kwa vijana wenzangu

MSANII wa Kimataifa wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amesema amedhamiria kutoa ajira kwa vijana wengi wa kitanzania kupitia muziki huku pia akileta mapinduzi katika sekta hiyo nchini.
Diamond ambaye ni msanii ghali zaidi kwa sasa Tanzania, amesema kuna watu wengi wenye vipaji ambao wako mtaani au wako katika sekta nyingine lakini hawajui wafanyeje ili kufikia ndoto zao jambo ambalo linahitaji watu wengine wawasaidie kuwafikisha pale wanapotaka.
“Kuna tatizo ambalo lipo katika mambo ya mitindo, muziki. Watu wengi wanachukulia kama uhuni, wengi wanaona kama kuuza sura, yaani mtu aonekane kwenye video ili apate umaarufu, tunatakiwa kubadilisha mawazo haya, Ulaya hata hapo Afrika Kusini wanaonekana kwenye video wanalipwa.

“Mimi nitawalipa wote watakaonekana kwenye video yangu, tutakapofanya usaili kesho wale watakaochanguliwa watalipwa, lakini pia hii inaweza kuwa ni kufunguliwa milango kwenye sekta nyingine, wapo wanaoweza kuonekana wanafaa kwenye matangazo ya biashara, hawa watapata kampuni ambazo zinaweza kuwatumia.
“Katika majaji watakuwepo Raqey Mohammed wa I-View Studios, hawa wanafanya kazi nyingi za matangazo, movie, atakuwepo pia Ally Rehmtulah huyu ni mbunifu anaweza kumuona mtu na akasema huyu anafaa kwa sekta yake, Sammy Cool ni densa na mwalimu hata Missie Popular yeye ni mwandishi na mwanamitindo wanajua wapi kwa kuwafikisha watu wengine’ alisema.
Msanii huyo alisema mafanikio aliyo nayo ya kumiliki nyumba, magari na kujulikana kwake yametokana na muziki, hivyo ana uhakika wapo watu wengine pia kupitia yeye na wanamuziki wengine kama yeye wanaweza kufaidika na kufikia mafanikio kama aliyoyapata.

Diamond alisema usaili huo unafanyika kesho  pale nyumbani Lounge kuanzia saa tano asubuhi. Hii ni mara ya kwanza kwa msanii wa nchini kufanya usaili kwa ajili ya watu watakaonekana kwenye video yake.
Diamond pia ndiye msanii wa kwanza wa muziki wa kizazi kipya kuandaa shoo yake mwenyewe na watu kulipa kiingilio cha sh 50,000. Diamond alifanya hivyo kwenye onyesho alilolipa jina la Diamond are Forever pale Mlimani City, Dar es Salaam.


Majaji usaili wa video ya Diamond watangazwa



MSANII wa Kimataifa wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ ataongoza jopo la majaji wengine wanne kwa ajili ya kupata wasichana na wavulana watakaoshiriki kwenye video yake mpya.

Usaili wa watu hao utafanyika Jumamosi kwenye ukumbi wa Nyumbani Lounge, mjini Dar es Salaam ambao wote watakaochaguliwa kuonekana kwenye video hiyo itakayorekodiwa na kampuni ya I-View Studios watalipwa.

Katika orodha hiyo, yupo mbunifu wa mitindo wa kimataifa, Ally Rehmtullah ambaye hivi karibuni alizundua mavazi yake mapya katika hoteli ya Serena, yupo pia Raqey Mohamed ambaye ni Mkurugenzi wa kampuni ya I-View Studios,pia Creative Director, Sammy Cool ambaye ni mwalimu wa dansi na blogger maarufu Missie Popular.

Akizungumza mjini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa kampuni ya One Touch Solutions, Petter Mwendapole alisema majaji hao wamechaguliwa kutokana na kuhusika kwao na shughuli za sanaa kila siku.

“Diamond ndiye mwenye video na ni mwanamuziki, Raqey ndiye atakayerekodi video, lazima ajue watu ambao ana wataka kwenye hiyo video, ameshafanya kazi kama hizi mara nyingi, ni mpiga picha wa kimataifa, Sammy Cool ni densa maarufu na mwalimu ambaye amewafundisha watu wengi katika ulimwengu wa kucheza nchini, wengi watakuwa wakimfahamu tangu enzi za Bombeso, THT na mashindano mbalimbali ya urembo, amekuwa pia akitoa ushauri nasaha.

“Kwa upande wa Ally ni mbunifu wa mitindo wa kimataifa, ameshafanya kazi mpaka ulaya, ana uzoefu mkubwa kutokana na kazi zake kwa hiyo kuwepo kwake kutasaidia pia vipaji vingine kuonekana, Missie Popular yeye ni mwandishi, mwanamitindo kwa hiyo kama mtu wa habari ana mchango wake katika kuibua vipaji pia,” amesema.

Mwendapole amesema usaili huo utaanza saa tano kamili asubuhi na kwamba baada ya usahili huo wale watakaochaguliwa watafahamishwa mazoezi yatakuwa wapi na baada ya hapo kazi ya kurekodi video hiyo kuanza.

Video hiyo ambayo wote watakaochaguliwa kuonekana watalipwa, itarekodiwa maeneo mbalimbali nchini pamoja na sehemu nyingine nje ya bara la Afrika ili kuipa ladha tofauti. Kampuni ya I-View ndio imeshinda mchakato wa kurekodi video hiyo.

Tayari kampuni hiyo imeweza kutengeneza video kadhaa za kiwango cha kimataifa ikiwemo Kwasakwasa Tazneem, Utanikumbuka ya Suma Lee pamoja na matangazo mbalimbali ya biashara. I-View pia ndiyo inatengeneza kava za wasanii mbalimbali Bongo Movie ambao wanafanya kazi na Steps Entertainment.






NAS NA LAURYN HILL WATANGAZA TOUR YAO YA “LIFE IS GOOD/BLACK RAGE”

Nas & Lauryn Hill wakiwa kwa stage.


Hip-hop history is about to be made. Nas na Lauryn Hill wameamua kuungana na na kushirikiana kwenye ziara itayokwenda kwa jina la “Life Is Good/Black Rage”.

Tour hii imeunganisha majina ya album mpya ya Nas kwa jina la “Life Is Good” na “Black Rage,” ambayo ni single mpya ya mwanadada Lauryn Hill ambayo inaelezea maswala mazima ya unyanyasaji na ubaguzi wa rangi ambapo anaamini kupitia nyimbo hiyo mambo hayo yatashughulikiwa na kutatuliwa.
 Kuhususiana na tour hii Nas anafunguka kwa kusema:“This is history. Better late than never. Life is good!”.

Na kuhusu swala zima la Tickets zitaanza kuuzwa ijumaa ya kesho, ila kwa mauzo ya awali kwenye masoko tickets zimeanza kuuzwa alhamisi ya leo.

Hii ndio Ratiba nzima na tarehe za “Life Is Good/Black Rage” Tour:

Oct. 6 – Columbia, MD – Merriweather Post Pavilion (NAS ONLY)
 Oct. 20 – Phoenix, AZ – Arizona State Fairgrounds (NAS ONLY)
 Oct. 26 – Asheville, NC – MOOG Festival (NAS ONLY)
 Oct. 27 – Nashville, TN – Riverfront Park (NAS ONLY)
 Oct. 28 – New Orleans, LA – Voodoo Festival (NAS ONLY)
 Oct. 29 – Dallas, TX – Palladium Ballroom
 Oct. 31 – Houston, TX – Bayou Music Center
 Nov. 2 – Atlanta, GA – Tabernacle
 Nov. 3 – Norfolk, VA – NorVa Theatre (NAS ONLY)
 Nov. 4 – Washington, DC – DAR Constitution Hall
 Nov. 7 – Philadelphia, PA – Electric Factory
 Nov. 9 – Rochester, NY – Main Street Armory(NAS ONLY)
 Nov. 11 – Boston, MA – House of Blues
 Nov. 14 – Chicago, IL – Congress Theatre
 Nov. 16 – Denver, CO – Fillmore Auditorium
 Nov. 17 – Magna, UT – Salt Air
 Nov. 19 – Oakland, CA – Fox Oakland Theater
 Dec. 31 – New York, NY – Radio City Music Hall (NAS ONLY).

EXCLUSIVE : SHAKIRA MJAMZITO

         Shakira.  


Shakira akiwa na Gerard Pique.

Mwimbaji kutoka Colombia kwa jina la Shakira ni mjamzito na anatarajia kupata mtoto wake huyo wa kwanza.

The Hips don’t Lie singer mwenye umri wa miaka 35 amethibitisha kuwa ana mimba na wanatarajia kupata mtoto wa pamoja na Spanish footballer Gerard Pique anayeichezea club ya Barcelona. Na zaidi Shakira ameamua kupunguza ratiba zake za kazi kuanzia week ijayo.

Shakira amethibitisha kuwa mjamzito baada ya kuandika kwenye tovuti yake kwa kuwaambia mashabiki zake kama hivi:”As some of you may know, Gerard and I are very happy awaiting the arrival of our first baby. ‘At this time we have decided to give priority to this unique moment in our lives and postpone all the promotional activities planned over the next few days.”

Mwimbaji huyu alikuwa anatarajiwa kuperform kwenye tamashsa la iHeartRadio Music Festival at the MGM Grand Hotel and Casino weekend hii huko Las Vegas, but had now cancelled her appearance.



RONAN KEATING APATA MPENZI KIPYA























Ronan Patrick John Keating alias Ronan Keating






















Ronan Keating akiwa na mpenzi wake mpya.  


Ronan Patrick John Keating alias Ronan Keating mwanamuziki maarufu toka Ireland na pia mtunzi wa nyimbo ambaye ameshatamba na single zake kama “This I Promise You” na “When You Say Nothing” kwa sasa ameanza kupata furaha ya mapenzi baada ya kupata mpenzi mpya.

Mpenzi wake mpya huyo anajulikana kama Storm Uechtritz, Keating na Storm walianza mahusiano mara baada ya kutengana na mpenzi wake wa awali.

Ronan Keating ambaye alishawahi kuwa mmoja wa wanamuziki wa kundi la Boyzone amepata mpenzi  mwingine wakati akiwa katika X-Factor huko Australia ambako alikuwa ni muandaaji. Ronan mwenye miaka 35 sasa ndoa yake ya miaka 14 na Yvonne iliisha rasmi Aprili mwaka huu kutokana na kashfa iliyomkuta kwa kufanya mapenzi na dansa wake.

mwanamuziki maarufu toka Ireland na pia mtunzi wa nyimbo ambaye ameshatamba na single zake kama “This I Promise You” na “When You Say Nothing” kwa sasa ameanza kupata furaha ya mapenzi baada ya kupata mpenzi mpya. Mpenzi wake mpya huyo anajulikana kama Storm Uechtritz, Keating na Storm walianza mahusiano mara baada ya kutengana na mpenzi wake wa awali. Ronan Keating ambaye alishawahi kuwa mmoja wa wanamuziki wa kundi la Boyzone amepata mpenzi mwingine wakati akiwa katika X-Factor huko Australia ambako alikuwa ni muandaaji. Ronan mwenye miaka 35 sasa ndoa yake ya miaka 14 na Yvonne iliisha rasmi Aprili mwaka huu kutokana na kashfa iliyomkuta kwa kufanya mapenzi na dansa wake.

Diamond Platnumz: Nataka kutengenza ajira kwa vijana wenzangu MSANII wa Kimataifa wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amesema amedhamiria kutoa ajira kwa vijana wengi wa kitanzania kupitia muziki huku pia akileta mapinduzi katika sekta hiyo nchini. Diamond ambaye ni msanii ghali zaidi kwa sasa Tanzania, amesema kuna watu wengi wenye vipaji ambao wako mtaani au wako katika sekta nyingine lakini hawajui wafanyeje ili kufikia ndoto zao jambo ambalo linahitaji watu wengine wawasaidie kuwafikisha pale wanapotaka. “Kuna tatizo ambalo lipo katika mambo ya mitindo, muziki. Watu wengi wanachukulia kama uhuni, wengi wanaona kama kuuza sura, yaani mtu aonekane kwenye video ili apate umaarufu, tunatakiwa kubadilisha mawazo haya, Ulaya hata hapo Afrika Kusini wanaonekana kwenye video wanalipwa. “Mimi nitawalipa wote watakaonekana kwenye video yangu, tutakapofanya usaili kesho wale watakaochanguliwa watalipwa, lakini pia hii inaweza kuwa ni kufunguliwa milango kwenye sekta nyingine, wapo wanaoweza kuonekana wanafaa kwenye matangazo ya biashara, hawa watapata kampuni ambazo zinaweza kuwatumia. “Katika majaji watakuwepo Raqey Mohammed wa I-View Studios, hawa wanafanya kazi nyingi za matangazo, movie, atakuwepo pia Ally Rehmtulah huyu ni mbunifu anaweza kumuona mtu na akasema huyu anafaa kwa sekta yake, Sammy Cool ni densa na mwalimu hata Missie Popular yeye ni mwandishi na mwanamitindo wanajua wapi kwa kuwafikisha watu wengine’ alisema. Msanii huyo alisema mafanikio aliyo nayo ya kumiliki nyumba, magari na kujulikana kwake yametokana na muziki, hivyo ana uhakika wapo watu wengine pia kupitia yeye na wanamuziki wengine kama yeye wanaweza kufaidika na kufikia mafanikio kama aliyoyapata. Diamond alisema usaili huo unafanyika kesho pale nyumbani Lounge kuanzia saa tano asubuhi. Hii ni mara ya kwanza kwa msanii wa nchini kufanya usaili kwa ajili ya watu watakaonekana kwenye video yake. Diamond pia ndiye msanii wa kwanza wa muziki wa kizazi kipya kuandaa shoo yake mwenyewe na watu kulipa kiingilio cha sh 50,000. Diamond alifanya hivyo kwenye onyesho alilolipa jina la Diamond are Forever pale Mlimani City, Dar es Salaam. Xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx Majaji usaili wa video ya Diamond watangazwa MSANII wa Kimataifa wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ ataongoza jopo la majaji wengine wanne kwa ajili ya kupata wasichana na wavulana watakaoshiriki kwenye video yake mpya. Usaili wa watu hao utafanyika Jumamosi kwenye ukumbi wa Nyumbani Lounge, mjini Dar es Salaam ambao wote watakaochaguliwa kuonekana kwenye video hiyo itakayorekodiwa na kampuni ya I-View Studios watalipwa. Katika orodha hiyo, yupo mbunifu wa mitindo wa kimataifa, Ally Rehmtullah ambaye hivi karibuni alizundua mavazi yake mapya katika hoteli ya Serena, yupo pia Raqey Mohamed ambaye ni Mkurugenzi wa kampuni ya I-View Studios,pia Creative Director, Sammy Cool ambaye ni mwalimu wa dansi na blogger maarufu Missie Popular. Akizungumza mjini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa kampuni ya One Touch Solutions, Petter Mwendapole alisema majaji hao wamechaguliwa kutokana na kuhusika kwao na shughuli za sanaa kila siku. “Diamond ndiye mwenye video na ni mwanamuziki, Raqey ndiye atakayerekodi video, lazima ajue watu ambao ana wataka kwenye hiyo video, ameshafanya kazi kama hizi mara nyingi, ni mpiga picha wa kimataifa, Sammy Cool ni densa maarufu na mwalimu ambaye amewafundisha watu wengi katika ulimwengu wa kucheza nchini, wengi watakuwa wakimfahamu tangu enzi za Bombeso, THT na mashindano mbalimbali ya urembo, amekuwa pia akitoa ushauri nasaha. “Kwa upande wa Ally ni mbunifu wa mitindo wa kimataifa, ameshafanya kazi mpaka ulaya, ana uzoefu mkubwa kutokana na kazi zake kwa hiyo kuwepo kwake kutasaidia pia vipaji vingine kuonekana, Missie Popular yeye ni mwandishi, mwanamitindo kwa hiyo kama mtu wa habari ana mchango wake katika kuibua vipaji pia,” amesema. Mwendapole amesema usaili huo utaanza saa tano kamili asubuhi na kwamba baada ya usahili huo wale watakaochaguliwa watafahamishwa mazoezi yatakuwa wapi na baada ya hapo kazi ya kurekodi video hiyo kuanza. Video hiyo ambayo wote watakaochaguliwa kuonekana watalipwa, itarekodiwa maeneo mbalimbali nchini pamoja na sehemu nyingine nje ya bara la Afrika ili kuipa ladha tofauti. Kampuni ya I-View ndio imeshinda mchakato wa kurekodi video hiyo. Tayari kampuni hiyo imeweza kutengeneza video kadhaa za kiwango cha kimataifa ikiwemo Kwasakwasa Tazneem, Utanikumbuka ya Suma Lee pamoja na matangazo mbalimbali ya biashara. I-View pia ndiyo inatengeneza kava za wasanii mbalimbali Bongo Movie ambao wanafanya kazi na Steps Entertainment. Xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx RONAN KEATING APATA MPENZI KIPYA Ronan Keating akiwa na mpenzi wake mpya. Ronan Patrick John Keating alias Ronan Keating mwanamuziki maarufu toka Ireland na pia mtunzi wa nyimbo ambaye ameshatamba na single zake kama “This I Promise You” na “When You Say Nothing” kwa sasa ameanza kupata furaha ya mapenzi baada ya kupata mpenzi mpya. Mpenzi wake mpya huyo anajulikana kama Storm Uechtritz, Keating na Storm walianza mahusiano mara baada ya kutengana na mpenzi wake wa awali. Ronan Keating ambaye alishawahi kuwa mmoja wa wanamuziki wa kundi la Boyzone amepata mpenzi mwingine wakati akiwa katika X-Factor huko Australia ambako alikuwa ni muandaaji. Ronan mwenye miaka 35 sasa ndoa yake ya miaka 14 na Yvonne iliisha rasmi Aprili mwaka huu kutokana na kashfa iliyomkuta kwa kufanya mapenzi na dansa wake. Xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx EXCLUSIVE : SHAKIRA MJAMZITO Shakira. Shakira akiwa na Gerard Pique. Mwimbaji kutoka Colombia kwa jina la Shakira ni mjamzito na anatarajia kupata mtoto wake huyo wa kwanza. The Hips don’t Lie singer mwenye umri wa miaka 35 amethibitisha kuwa ana mimba na wanatarajia kupata mtoto wa pamoja na Spanish footballer Gerard Pique anayeichezea club ya Barcelona. Na zaidi Shakira ameamua kupunguza ratiba zake za kazi kuanzia week ijayo. Shakira amethibitisha kuwa mjamzito baada ya kuandika kwenye tovuti yake kwa kuwaambia mashabiki zake kama hivi:”As some of you may know, Gerard and I are very happy awaiting the arrival of our first baby. ‘At this time we have decided to give priority to this unique moment in our lives and postpone all the promotional activities planned over the next few days.” Mwimbaji huyu alikuwa anatarajiwa kuperform kwenye tamashsa la iHeartRadio Music Festival at the MGM Grand Hotel and Casino weekend hii huko Las Vegas, but had now cancelled her appearance. Xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx NAS NA LAURYN HILL WATANGAZA TOUR YAO YA “LIFE IS GOOD/BLACK RAGE” Nas & Lauryn Hill wakiwa kwa stage. Hip-hop history is about to be made. Nas na Lauryn Hill wameamua kuungana na na kushirikiana kwenye ziara itayokwenda kwa jina la “Life Is Good/Black Rage”. Tour hii imeunganisha majina ya album mpya ya Nas kwa jina la “Life Is Good” na “Black Rage,” ambayo ni single mpya ya mwanadada Lauryn Hill ambayo inaelezea maswala mazima ya unyanyasaji na ubaguzi wa rangi ambapo anaamini kupitia nyimbo hiyo mambo hayo yatashughulikiwa na kutatuliwa. Kuhususiana na tour hii Nas anafunguka kwa kusema:“This is history. Better late than never. Life is good!”. Na kuhusu swala zima la Tickets zitaanza kuuzwa ijumaa ya kesho, ila kwa mauzo ya awali kwenye masoko tickets zimeanza kuuzwa alhamisi ya leo. Hii ndio Ratiba nzima na tarehe za “Life Is Good/Black Rage” Tour: Oct. 6 – Columbia, MD – Merriweather Post Pavilion (NAS ONLY) Oct. 20 – Phoenix, AZ – Arizona State Fairgrounds (NAS ONLY) Oct. 26 – Asheville, NC – MOOG Festival (NAS ONLY) Oct. 27 – Nashville, TN – Riverfront Park (NAS ONLY) Oct. 28 – New Orleans, LA – Voodoo Festival (NAS ONLY) Oct. 29 – Dallas, TX – Palladium Ballroom Oct. 31 – Houston, TX – Bayou Music Center Nov. 2 – Atlanta, GA – Tabernacle Nov. 3 – Norfolk, VA – NorVa Theatre (NAS ONLY) Nov. 4 – Washington, DC – DAR Constitution Hall Nov. 7 – Philadelphia, PA – Electric Factory Nov. 9 – Rochester, NY – Main Street Armory(NAS ONLY) Nov. 11 – Boston, MA – House of Blues Nov. 14 – Chicago, IL – Congress Theatre Nov. 16 – Denver, CO – Fillmore Auditorium Nov. 17 – Magna, UT – Salt Air Nov. 19 – Oakland, CA – Fox Oakland Theater Dec. 31 – New York, NY – Radio City Music Hall (NAS ONLY). Xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx