Friday, December 7, 2012

NGOMA MPYA YA RICH MAVOKO "ONE TIME"


HAPPY B.DAY-NAKUTAKIA MAISHA MAREFU NA YENYE BARAKA TELE JACQULINE WOLPER


Msanii wa Bongo Movie almaarufu kama Jacquline Wolper, siku ya leo anatimiza miaka kadhaa toka azaliwe.Kwa hiyo kama wewe pia unazaliwa siku kama ya leo, basi utakuwa unasherekea siku yako ya kuzaliwa na msanii huyo.Team nzima ya The big dad tunawatakiwa All the best