Wednesday, September 12, 2012

BABY MADAHA AONGEZA UKUBWA WA MATITI


KATIKA kusaka mvuto wa kimahaba, msanii wa filamu na muziki, Baby Madaha ameamua kuongeza ukubwa wa matiti yake (angalia picha).
Akipiga stori na Tollywood Newz, juzikati jijini Dar es Salaam, Baby alisema amefikia uamuzi huo kwa sababu wanaume huvutiwa zaidi na matiti na makalio makubwa.
“Najua Wabongo wanaweza kushangazwa na uamuzi wangu, lakini ni mambo ya kawaida kabisa kutafuta mvuto wa mahaba. Nimeanza na matiti, baadaye nitakwenda a makalio,” alisema.
Alipotakiwa kutaja hospitali aliyofanya upasuaji huo alijibu kwa kifipi: “Ni siri, siwezi kuitaja ila iko Nairobi (Kenya).”

No comments:

Post a Comment