Wednesday, September 19, 2012

TID ALILIA FIESTA.....!!!


Khaleed Mohamed aka TID now ameamua kuwa kutoa ya Moyoni katika kila jambo linalomkera. Siku moja baada ya kukaririwa akizungumzia juu ya issue yake dhidi ya Ali Kiba, leo ‘MNYAMAAAAAA’amezungumzia juu ya suala lake la kutokuwepo katika list ya wasanii wanao-perform katika the biggest music concert in Tanzania Fiesta. Kupitia his official facebook account TID ameandika status inayosomeka kama ifuatavyo: “I wiSh I coUld maKe the Guy Who does the FieSta Listing be oN my SiDe some PeoplE are workin verY Hard to juSt makE me Look like Criminal so I can not be on List Lakini Mungu atanipa Better than Fiesta tho its Been 5 years am nt Part of It”. Kwa maana hiyo owner huyo wa Top Band analalamika kwamba ana kila sifa ya kuwa mmoja ya wasanii wanaopanda katika jukwaa la tamasha hilo linaloendelea hivi sasa, lakini kwa sababu tofauti watu wanaoshughulika na kupanga listi ya wasanii wamekuwa wakimpotezea Mnyama kwa takribani miaka mitano iliyopita pamoja na kuwa hit songs nyingi ndani ya kipindi hicho

No comments:

Post a Comment