Friday, November 2, 2012

Wamarekani wachukizwa na kitendo cha Chris Brown kuvaa kama Taliban kwenye Halloween party ya Rihanna

Kwa mara nyingine tena leo kumeshuhudiwa machafuko mengine katika mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam baada ya polisi wa FFU kutumia mabomu ya machozi kulitawanyisha kundi kubwa la waumini wa dini ya kiislam waliokuwa wanaokena kutaka kuandamana.

Juzi Rihanna aliandaa party ya Halloween huko West Hollywood na kukaribisha mastaa kibao akiwemo swahiba wake Chris Brown.

Chris ndiye aliyezua mjadala kutokana na kuvaa kama wanamgambo wa Taliban. Akiwa amevaa nguo hizo Chris alivaa pia mkanda wa risasi kifuani mwake pamoja na kushikilia machine gun huku akipewa kampani na washkaji zake waliokuwa wamevaa kama yeye.
Chris Brown (katikati) akiwa na washkaji zake

Aliweka picha hiyo kwenye mtandao wa Instagram na kuandika “Ain’t nobody F**king wit my clique!!!!”

Mastaa wengine waliohudhuria party hiyo ni pamoja na Flo Rida, Paris Hilton, na staa wa Olympic Lindsay Vonn.

Baada ya watu kumshambulia Chris kwa kitendo hicho cha kuwaunga mkono magaidi mama yake Joyce Hawkins alimtetea mwanae kwa kuandika, “HALLOWEEN IS FOR FUN NOTHING MORE THAN JUST FUN. GET A LIFE PLEASE.”

No comments:

Post a Comment