Monday, December 3, 2012

Making the Video, P-Funk’s ‘No Name’ Group


Jana Jioni washikaji kibao showed up to feature in the No Name music video ambapo Producer wa long time in the game PFunk ametengeneza mega track akiwashirikisah masuperproducers in the game wakiwemo Dunga wa mandugu digital, Lamar kutoka Fishcrab, Akil the brain na John Mahundi
Baadhi ya wasanii pia walikuwepo kama AY, Mwana Fa, Jay Mo, Vanessa Mdee na wengineo katika kusanyiko hilo, ambalo lilikua viwanja vya mpira wa vikapu vya Tanesco, where kunakua na Bball Kitaa kila Jumapili na washikaji kama kina Rueben Ndege na Angela Damas pamoja na bball players and lovers were also in tow.
UKITAKA KUONA PICHA ZAID NINI CLICK HAPA.....http://www.bongo5.com/picha-making-the-video-p-funks-no-name-group-12-2012/

No comments:

Post a Comment