Sunday, December 9, 2012

NI KUHUSU KIFO CHA JUSTIN BIEBER

  Wengi tulio wengi tutakua hatuna uhakika na stori zinazoendelea kusambaa kuhuiana na eti bierber kafariki dunia ila ..katika pita pita mitandaoni hatukuwezeza kuthibitisha habari hiyo japo kuna site moja ambayo iliandika yafuatayo .........

Japo taarifa hizi zilipatikana katika mitandao isiyo rasmi hivyo kutupa hofu ya uhakika kuwa ni kweli bierber kafariki kwa ajali

kiukweli hasa huu ni uvumi ambao wasaniiw engi huzushiwa kuwa wamekufa wakati sio

kweli.na hii ni mara ya pili bierber anazushiwa kufa mitandaoni

No comments:

Post a Comment