Monday, January 28, 2013

Updates: Mpaka sasa Lulu hajatimiza masharti ya dhamana, huenda akarejea Segerea



Kwa mujibu wa vyanzo hadi muda huu (saa nane) Lulu bado hajaachiwa mahakamani kwakuwa bado taratibu za dhamana yake hazijakamilishwa.

Ili atoke ni lazima taratibu na masharti yote yatimizwe na kisha kusaniniwa na Msajili wa Mahakama Kuu ambapo kama muda wa saa za kazi wa serikali ukiisha bila kukamiliswa Lulu atarejeshwa tena mahabusu, Segerea.

Kama leo asipoachiwa kutokana na hali hiyo kesho atapelekwa tena mahakamani hapo kwa ‘remove order’ na kisha kuachiwa.

No comments:

Post a Comment