Sunday, March 17, 2013

PESTO SAID:- AONDOKEWA NA MAMA YAKE KIPENZI

Phesto said ...

Nikiwa kama C.E.O the boss wa thebigdad na toa pole sana Bwana Phesto 
na familia yao kwa ujumla kwa kuondokewa na mama yake mpendwa siku ya tarehe 14 march 2013 huko Matamba. kwa hakika ni siku ambayo haitasahaulika ktk mioyo ya wengi kwa kuondokewa na Mama yetu mpendwa wote tulimpenda sana lakini Mungu kampenda zaidi. Mazishi ya Mama phesto yalifanyika Matamba siku ya tar15 saa 7 mchana na yalio hudhuriwa na mamia ya watu., pongezi sana kwa watu wa Matamba (uwanji) kwa ushirikiano wenu katika hili.... MUNGU AWABARIKI...bwana ametoa Bwana ametwaa jinalae lihimidiwe.....  raha ya milele umpe ee bwana.. na mwanga wa milele umwangazie astarehe kwa amani amina.


Phesto said ...
C.E.O wa The big dad
Bw. Cyprian Benedict Mwageni
AKA B56 Bplus The big dad
UNAZIFAHAMU NJIA ZA UWANJI KULE MATAMBA?



Moto ukiwa umeandaliwa kwaajili ya mkesha Msibani


hahahah huyu ni mdogo wangu kipenzi Bruno Benedict Mwageni

The big bossss  B56 Bplus The big dad

The big bossss  B56 Bplus The big dad


Matamba

Matamba

Mdogo wangu wa NGUVU XANA ambaye pia ni Afisa Ugani (bwana mifugo) akiiwakilisha serikali ktk kijiji cha Mahanji Matamba Ngd. Deogratius Benedict Mwageni

Unamuona Bruno kulia, Adeodatha mwenye sweta, Mbalu mwenye rasta na rafiki yao
wadogo zangu hao

barabara ya Matamba 

barabara ya Matamba 

barabara ya Matamba 

 hahahaa na mimi Dereva wa tuktuk..... nikiwa na bw. Deo 

barabara ya Matamba 


 barabara ya Matamba kona hatai xana hizi mazeee lakini nimezinyonga



 barabara ya Matamba kona hatai xana hizi mazeee lakini nimezinyonga

 barabara ya Matamba kona hatai xana hizi mazeee lakini nimezinyonga


 barabara ya Matamba kona hatai xana hizi mazeee lakini nimezinyonga


jinsi Bonde la usangu linavyoonekana kwa mbali na kwa chini unapo teremka




Baba yangu Mzazi na kipenzi changu Mwaaaaaaaaa ambaye ni afisa Tarafa wa matamba 
Ndg. Benedict kilian Mwageni say Babaaaaaa

hahahah huyu ni mdogo wangu kipenzi Bruno Benedict Mwageni

No comments:

Post a Comment