Thursday, January 24, 2013

Hemedy: Movie zangu zinaangaliwa sana tangu mfumo wa digitali uanze!!!


Mfumo wa digitali nchini umekuja na faida na hasara zake. Japokuwa hasara ni nyingi, kubwa ni kuwafanya wananchi wengi wenye kipato cha chini kukosa matangazo ya TV kwa kushindwa kununua ving’amuzi, wapo watu wanaonufaika na hali hiyo.

Tangu mfumo huo uanze inasemekana kuwa soko la filamu za Tanzania limeongezeka kwakuwa wananchi wasio na ving’amuzi wamekuwa wakinunua movie za kibongo kwa wingi ili kupoteza muda wawapo nyumbani. Ushahidi wa jambo hilo umetolewa na Hemedy ambaye anasema mfumo wa digitali umeongeza idadi ya warembo wanaompigia simu kusifia movie zake ukilinganisha na zamani.

“Tangia system ya Digital imeanza napokea simu nyingi sana za masista duu wanasifia movie zangu…kitambo walikua wanasema sijui movie zenu,” ametweet Hemedy.

Akijibu swali letu kama anamaanisha kweli, Hemedy amejibu, “true dat….it’s a good thing pia…wanathamini vya home.”

Monday, January 14, 2013

(Audio) DI.ACTION - MHESHIMIWA HAKIMU




Artist:Di.action.
Song:mheshimiwa hakimu
Produced by: dony blast & bizzo one
Studio:hood voice records & jamvibe records!

Intro
Yeah!
I say mheshimiwa hakimu
Yeah!
I say mheshimiwa

Verse 1!
Sodoma usije mapema shahidi niropoke ukweli
Uongo umezidisha promo, jamii inakula artificial
Mambo yanakwenda nega vipaji vimepewa sumu,wabovu wapate malisho
Wasanii siku hizi wamechina,wengi wanaabudu mapenzi mitaa imekosa wakala
Cheki aliyevuma enzi zile leo sote tuko jalala
mheshimiwa hakimu huku kwetu sio kwema migomo kila tukiamka
Umeshindwa kumziba tobo, unamruhusu akamvunje pita
Ama unapata futari damu ya machizi ikimwagika
Usijifanye hauoni wakati mwangosi amevuta
Ama ilikuwa filamu akacheza scine ya kivita
Aah Mheshimiwa hakimu hili bomu litaleta ufa
Ama litaleta maafa baadaye ndio ligeuke kujuta
Mheshimiwa hakimu na muda umeniambia kimbia
Zile dawa arvs siku hizi mnaleta bandia
Mwana wangu wa mtaa usichoke kaza kimbia.
Yeah

Corous!!!
Yeah!
I say mheshimiwa hakimu,
Yeah!
I say mheshimiwa,
Yeah!
I say mheshimiwa hakimu,
Yeah!
I say mheshimiwa.

Verse 2!

Mheshimiwa hakimu kaka siku hizi hapigi mishe anasaka maza wa kumlea
Sister ye anakwenda resi mwili amegeuza behewa,wanazama chatu wanatoka ilimradi mfuko una mapera
Aah mheshimiwa hakimu huku kwetu sio shwari
Tizama wana wa mtaa wanaanguka kwa wali nazi
Fanyeni basi mpango tuokoe hiki kizazi
Ama unaona poa pongezi kwa jinamizi
Ama nikiongea vya msingi kwako vinageuka matusi
Tuache tupige soga na story kumhusu sofi
Aah mheshimiwa hakimu watu wanakacha jinsia,wakiume anajiita dada mwili amegeuza biashara
Hova niongoze vyema nipite ndani ya mstari
Ibilisi ameongeza speed anataka anivue rozari
Aah mheshimiwa hakimu hili swala la udini cheki damu inamwagika
Ama kwako sherehe umwone jirani anazika?


Repeat corous
Yeah!
I say mheshimiwa hakimu,
Yeah!
I say mheshimiwa,
Yeah!
I say mheshimiwa hakimu,
Yeah!
I say mheshimiwa.

Verse 3!
Mheshimiwa hakimu shujaa wangu alivuta akaniacha na majambazi wanaoficha mali huko mbali
Nchi inachezwa kamari,ukidai unachonga sana utamwagiwa tindikali
Ama utauziwa kesi usionekane hata maskani
Kama unabisha poa ulimboka bado ana story
Aah mheshimiwa hakimu kivipi ukiss mlungula
Ama kisa una key corio aende kuzurura
Ama hukumbuki ahadi uliyonipa kabla ya kura
Mheshimiwa hakimu kweli unataka kuniua nasikia unaficha uswisi
Kweili leo nimeamini kura yangu alikula fisi
Ama mnimuache amani nimkamate ibilisi
Hoku mtaa kumekucha, raia walisharauka
Makarau wanazingua hizi nyakati za mashaka
Mheshimiwa hakimu hebu tuache hayo masihara
Acha kuniona fala,kumbuka nchi naidai sa kivipi niache hasira?yeah!

Repeat corous!
Yeah!
I say mheshimiwa hakimu,
Yeah!
I say mheshimiwa,
Yeah!
I say mheshimiwa hakimu,
Yeah!
I say mheshimiwa.

Autro
Yeah!
This is conscious men
Rest in peace mwalimu Julius nyerere,
Amina chifupa,
Daudi mwangosi
See you when we get there men!
Yeah!
Xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx!

CHEKI "BEHIND THE SCENE" YA KIDOLE KWA MACHO by WAKALI WA MEDIA

CHEKI "BEHIND THE SCENE" YA KIDOLE KWA MACHO by WAKALI WA MEDIA

Thursday, January 10, 2013

MH TEMBA:WAMENILIZA TENA VIFAA VYA GARI YANGU



Baada ya kukemea uwizi wa vifaa vya magari na kufanikiwa kukamata baadhi ya wezi wanaohusika na matukio hayo ya uibaji wa vifaa vya magari,sasa leo Mh.Temba ameibiwa tena vifaa vya gari yake na vifaa hivyo ni Power Window,Dashbody,Side mirrow na vitu vingine vyenye gharama kubwa.

Baada ya kuibiwa vifaa hivyo aliweza kutangaza ila hakufanikiwa kupata hata kimoja ila amesharipoti katika kituo cha Polisi,sasa
Kupitia katika mtandao wa twitter wasanii wanafunguka juu ya uibaji wa vifaa hivyo vya magari wamechoshwa.

Monday, December 17, 2012

WEUSI KUPIGA SHOW YA KUFUNGA MWAKA TAREHE 23 MWEZI HUU


HILI TUNALIITA FUNGA ''MWAKA LA WEUSI''' KWA SABABU KUU KUBWA TATU YA KWANZA NI UZINDUZI WA NYIMBO MPYA YA LORD EYEZ INAYOSUBIRIWA KWA HAMU NA YA PILI NI UZINDUZI WA BUM KUBAM DVD KWA MARA YA KWANZA AINA MPYA YA USAMBAZAJI WA KAZI ZA WASANII UTAFANYIKA SIKU HYO NA SHOW YA MILELE KUTOKA KWA G NAKO' 'JOH MAKINI ''NIKKI WA PILI' 'BONTA ''LORD EYEZ NA SUPRIZE PIA HAZITAKOSEKANA TUKUTANE MAISHA CLUB TAREHE 23/12/012 KIINGILIO NI 10000/= TU

Sunday, December 9, 2012

BREAKING NEWS: UKWELI KUHUSU TETESI JUU YA KIFO CHA JUSTIN BIEBER HUU HAPA

2010_Death rumors: In what appears to be the first celebrity death hoax of 2010, rumors were flying out that teen sensation Justin Bieber was dead at only 15-years-old.
Rest assured however that Justin Bieber is not dead and he even confirmed it himself on his Twitter account:
"oh yeah...and it feels so good to be alive"

2012_Death rumors: Is Justin Bieber died in a car crash or not?
"Endelea" kufahamu ukweli wa tetesi za kifo cha J. Bieber...
Ukweli ni kwamba Justin Bieber amepata ajali ya gari ila hajafa, sio mara ya kwanza kwa J. Bieber kuzushiwa kifo kwani hata mwaka 2000 aliwahi zushiwa kifo katika ajali ya gari na ikasmekana Illuminati walikuwa wanataka kumuua baada ya kugundua ndiye atayekuwa mrithi wa Michael Jackson.

NI KUHUSU KIFO CHA JUSTIN BIEBER

  Wengi tulio wengi tutakua hatuna uhakika na stori zinazoendelea kusambaa kuhuiana na eti bierber kafariki dunia ila ..katika pita pita mitandaoni hatukuwezeza kuthibitisha habari hiyo japo kuna site moja ambayo iliandika yafuatayo .........

Japo taarifa hizi zilipatikana katika mitandao isiyo rasmi hivyo kutupa hofu ya uhakika kuwa ni kweli bierber kafariki kwa ajali

kiukweli hasa huu ni uvumi ambao wasaniiw engi huzushiwa kuwa wamekufa wakati sio

kweli.na hii ni mara ya pili bierber anazushiwa kufa mitandaoni